Bei za matunda mbalimbali katika Soko la Mwenge wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam,kama zinavyoonekana katika picha.(Picha na Emmanuel Massaka,MMG)

Wafanyabiashara wa matunda katika soko la Mwenge jijini Dar es Salaam wakiendelea na kazi kama wanavyooneka pichani.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...