Rais Mstaafu wa Serikali ya awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (wa tatu kulia) akiwa pamoja na Viongozi Wastaafu wenzake wakati Mkutano wa “Belt and Road Forum” unaofanyika mjini Beijing, China. kushoto kwake ni Mhe. Madhva Kumar Waziri Mkuu Mstaafu wa Nepal, kulia kwake Waziri Mkuu Mstaafu Japan Mhe. Yukio Hatoyama na Rais Mstaafu wa Ujerumani Mhe Christian Wulff.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...