Mtaalamu wa Uchumi kutoka Stanbic Bank, Jibran Quereishi akizungumza katika jukwaa la kujenga
ujuzi kwa wateja lilioandaliwa na benki hiyo, kwa ajili ya kuwaonyesha
wateja wake fursa mbali mbali zilizopo katika kilimo cha biashara
pamoja na utalii, hivi karibuni mkoani Arusha. Benki ya Stanbic iliandaa
jukwaa hilo ili kutekeleza ahadi ya kuwasaidia wateja wake
kufikia mafanikio yao ya kifedha kwa kupitia fursa mbali mbali zilizopo
katika sekta husika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...