Msemaji wa Bikosports, Geoffrey Lea, kushoto akimpongeza
Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, kulia baada ya
kumkabidhi zawadi yake ya kuwa Kocha Bora wa mwezi Machi, ambapo tuzo
hizo ambazo wadhamini Wakuu ni Kampuni ya kubashiri michezo mbalimbali
ya Biko Sports.
Msemaji wa Bikosports Geoffrey Lea kushoto akimpongeza
mshambuliaji mahiri wa Simba SC, John Bocco, baada ya kuibuka mchezaji
bora wa mwezi Machi, ambapo tuzo hizo zinadhaminiwa na Kampuni ya
kubashiri matokeo ya michezo mbalimbali ya Bikosports.
Kocha Mkuu wa Simba SC, Mbelgiji Patrick Aussems kulia
akiwa na mshambuliaji wake John Bocco, ambaye yeye amepewa zawadi yake
ya kuwa Kocha bora wa mwezi Machi, huku Bocco akitangazwa kuwa mchezaji
bora wa mwezi Machi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...