Msemaji wa Bikosports, Geoffrey Lea, kushoto akimpongeza Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, kulia baada ya kumkabidhi zawadi yake ya kuwa Kocha Bora wa mwezi Machi, ambapo tuzo hizo ambazo wadhamini Wakuu ni Kampuni ya kubashiri michezo mbalimbali ya Biko Sports.
 Msemaji wa Bikosports Geoffrey Lea kushoto akimpongeza mshambuliaji mahiri wa Simba SC, John Bocco, baada ya kuibuka mchezaji bora wa mwezi Machi, ambapo tuzo hizo zinadhaminiwa na Kampuni ya kubashiri matokeo ya michezo mbalimbali ya Bikosports.
 Kocha Mkuu wa Simba SC, Mbelgiji Patrick Aussems kulia akiwa na mshambuliaji wake John Bocco, ambaye yeye amepewa zawadi yake ya kuwa Kocha bora wa mwezi Machi, huku Bocco akitangazwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Machi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...