Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watafiti na Viongozi wa Kiserikali, wasomi pamoja na Wadau wa Maendeleo wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Watafiti la 24 Lililoandaliwa na Repoa lenye Ujumbe usemao Maendelo ya Uchumi wa ndani kwa kuanzia katika ngazi ya Serikali za Mitaa.
 Mkurugenzi Mkuu wa Repoa Dr. Donald Mmari akizungumza na Washiriki kabl ya kumkaribisha Mwenyekiti wa Bodi ya Repoa aweze kumkaribisha mgeni ramsi hili azungumze na Washiriki wa Kongamano hilo.
Mtoa Mada juu ya Maendeleo ya kiuchumi kutoka Erasmus Univesity nchini Uholanzi,Prof .Peter Knoriga akiwa silisha Mada yake mbele ya Mgeni Rasmi wakati wa Kongamano la 24 la Watafiti lililoandaliwa na Repoa 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu akisalimiana na Mmoja ya Wafanyakazi wa Tasisi ya Utafiti Nchini Repoa, Khadija Omari wakati akiwasili katika Mkutano mkuu wa 24 wa mwaka.
 Baadhi ya Washiriki wa Mkutano huo wakisikiliza kwa Makini Hotuba ya Mgeni Rasmi Mama Samia Suluhu Hassan.
Baadhi ya Viongozi wa Serikali wakifatilia kwa makini hotuba ya mgeni rasmi
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya Pamoja na Viongozi wa Repoa pamoja na Washiriki wa Kongamano la 24 la Tasisi hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...