Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Jenista Mhagama akiteta jambo na Mbunge wa Mikumi Joseph Haule mara baada ya kuhairishwa kwa mkutano wa Bunge unaoendelea Jijini Dodoma Aprili 9, 2019.
 Sehemu ya Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifuatilia michango wa Wabunge wakati wa kujadili Hoja ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (Mb) kuhusu mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi yake kwa Mwaka wa Fedha 2019/ 2020 Bungeni Dodoma Aprili 09, 2019.
 Sehemu ya Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifuatilia michango wa Wabunge wakati wa kujadili Hoja ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (Mb) kuhusu mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi yake kwa Mwaka wa Fedha 2019/ 2020 Bungeni Dodoma Aprili 09, 2019.
 Sehemu ya Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifuatilia michango wa Wabunge mapema hii leo Bungeni Dodoma, katikati ni Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo anayeshughulikia Bunge na Waziri Mkuu Maimuna Tarishi, na mwenye tai nyekundu ni Katibu Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Andrew Massawe wakati wa Bunge Jijini Dodoma.
 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Ajira) Anthony Mavunde (wa kwanza kushoto) pamoja na Naibu Waziri Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndungulile (mwenye tai ya blue) wakiwa katika picha ya pamoja na Makatibu Wakuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Andrew Massawe (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) mwenye tai nyekundu na Maimuna Tarishi (Bunge na Waziri Mkuu) nje ya Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.
 Makatibu Wakuu Ofisi ya Waziri Mkuu wakiteta jambo mara baada ya kuhairishwa kwa vikao vya bunge vinavyoendelea Jijini Dodoma Aprili 09, 2019, kulia ni Andrew Massawe anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu na kushoto ni BMaimuna Tarishi (Bunge na Waziri Mkuu)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Jenista Mhagama  (mwenye blauzi nyeusi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Mawaziri na wabunge nje ya Ukumbi wa Bunge Dodoma, wa kwanza kushoto ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako.

(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...