Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro akisalimiana na mwakilishi wa Barozi wa China hapa nchini Mr Xu Chen baada ya kuwasili katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi katika hafla fupi ya kupokea majengo saba yaliojengwa kwa ufadhili wa Serikali ya China.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani Meja Jenerali Jacob G. Kingu akipokea mfano wa funguo kutoka kwa mwakilishi wa Barozi wa China Mr Xu Chen baada ya kumaliza kukabidhiwa majengo saba yatakayo tumika kwa ajili ya ukufunzi wa Maafisa na Askari katika chuo cha Polisi Moshi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro akipokea mfano wa funguo kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani Meja Jenerali Jacob G. Kingu baada kupokea majengo saba yaliojengwa kwa ufadhili wa serikali ya China. (Picha na Jeshi la Polisi)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...