Mwenyekiti wa  Chama Cha Mapinduzi Rais Dkt. John Pombe Magufuli na MAkamu Mwenykiti wa CCM (VIsiwani) na Rais wa Zanzibar na Baraa la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein  wakitoka kwenye kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya  chama hicho (NEC)  kilichofanyika
Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma leo Jumatatu Aprili 15, 2019.
Wajumbe wa Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya  Chama Cha Mapinduzi (NEC) wakitoka kwenye kikao chao kilichofanyika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumatatu Aprili 15, 2019
Katibu Mkuu wa  Chama Cha Mapinduzi Dkt. Bashiru Ally akizungumza na Wajumbe wa Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya  Chama hicho  (NEC) kabla ya kuanza kwa kikao chao kilichofanyika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma leo  chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dkt. John Pombe
Magufuli Jumatatu Aprili 15, 2019

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...