NGabariel Leshabari, Kilombero

SHULE za sekondari Kiberege na Mchombe Wilayani Kilombero zapokea msaaada wa Viti na meza 100 kutoka banki ya NMB mkoani morogoro, vyote vikiwa na Thamani y ash milioni kumi(10) vikiwa na malengo ya kutatua changamoto ya Elimu na Afya.

Akikabidhi msaada huo meneja kanda ya mashariki banki ya NMB morogoro Bw. Baraka Ladislaus alisema kuwa NMB ilipo pasta barua toka ofisi ya mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero alifarijika sana na kuwa pamoja nao na kuweza kutekeleza hatua hiyo maramoja.

Hata hivyo meneja wa NMB Bw Ladislaus alikabdhi tamani hizo kwa mkurugenzi mtendaji halmashauri ya Kilombero amba alikuwa kaimu mkurugenzi afisa Elimu sekondari Dr Janeth barongo alimwakilisha mkurugenzi akiongozana na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Devd Ligazio.

Aidha katika makabidhiano hayo walikuwepo walimu wakuu wa shule zote mbili za Kiberge mwalimu Mohamed Ally Mmandika na mwalimu mkuu wa Mchombe Good MelkiorChami wakiwemo baadhi ya wananchi wa kata ya kiberege ambao walifika kwa ajili ya kuwa mashuhuda wa tukio hilo la NMB kuchangia thamani hizo pamoja na wanafunzi ambao ni walengwa wenyewe.

Pamoja na hayo meneja wa NMB alisema kuwa hivi sasa banki yake imekuwa mstari wa mbele kwa kusaidia serikali kupambana na mambo makuu mawilia ambayo ni Elimu na Afya, ambapo thamani ya zaidi ya kiasi cha shilingi milioni 400 kwa kipindi cha mwaka 2019.

Fedha hizo zimetumika katika kujikita zaidi kwenye miradi ya Elimu(madawati, vifaa vya kuezeka) , Afya katika Vitanda na magodoro yake kwa ujumla na kusaidia majanga zaidi yanayo ipata nchi yetu kwa jamii, zaidi ya miaka saba mfululizo NMB imekuwa ikichangia kwa asilimia moja.

Sambamba na hayo kwa kipindi cha mwaka 2019 NMB imeamua kushirikiana na shule za kiberege kwa kutoa viti na meza 50 na shule ya sekondari mchombe pia imepata viti na meza 50 vyote vikiwa na thamani ya milioni 10, NMB kwa kipindi cha mwaka 2019 imetenga zaidi ya biloni moja(1) Kwa ajili ya kuchangia maendeleo ya jamiiikiwemo kusaidia sekta ya Elimu na Afya kwa kiasi hicho kinaifanya kuwa banki ya kwanza katuika kuchangia maendeleo kuliko banki yoyote hapa nchini.

Meneja wa NMB Ladisalus alisema kuwa hivi sasa bank hiyo imekuwa na matawi mengi zaidi 228, ATM zaidi ya 800nchi nzima,NMB mawakala zaidi ya 7,000 pamoja na wateja zaidi ya milioni tatu(3) idadi ambayo ni hazina kubwa ukilinganisha na banki zingine hapanchini.

Hata hivyo meneja aliwataka wanafunzi wa shule hizo za Kiberege na mchombe kuhakikisha wanatunza thamani hizo na kuhakiksha wanasoma na kufaulu ili NMB iweze kuwa na moyo wa kuwachangia zaidi katika maendeleo ya Elimu kwa ujumla Wilayani humo na sehemu zinguinezo.

Naye kaimu mkurugenzi ambaye ni Afisa Elimu sekondari Dr janeth Barongo aliipongez banki ya NMB kwa kujitolea kwa kuona changamoto ilipo Wilayani kilombero hususani sehamu ya Elimu kuwa kuna change moto ya madawati pamoja na majengo ya kwa wanafunzi Wilayani humo, pia aliomba kuwa isiwe mwisho wa kuotoa michango katika shule zilizopo Wilayani humo, kwa kufanya wanafunzi waweze kusoma kwa wakati na kujengea ufaulu wao.

Dr Barongo aliendelea kusema kuwa hali hiyo imewafanyas wananchi kuona kuwa banki ya NMB ipo karibu yao kama usemi wao husema kuwa NMB karibu yako, kwa maendeleo zaidi hususani kwa motto na watu wazima kuifungulia akaunti kwao NMB.

Walimu wa shule hizo za Sekondari za kiberge na Mchombe Mwali MohamdAlly Mmandika na Good Melikior Chami walisema kuwa wapo pamoja na o katika kutoa elimu kwa wanafunzi wao na iliyo bora na siyo Elimu na kuhakikisha alama sifuri inatoweka hata kikiwezekana hata alama nne inahama kwao

Pia wanafunzi wa shule hizo waliipongeza NMB kwa kuona shida aliyokuwa nayo na kuweza kuwasaidia tamani ya meza na viti, na kuomba kuwa watakuwa makini kwa kuvitunza na kusema kuwa watakuwa wana tunza na kusoma na kuondao alama sifuri shuleni humo.

Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya Kilombero mhe Devdi Ligazio alisema kuwa niaba ya wananchi wa Kilombero kuwa hali aliyo iyona kwa Banki ya NMB kujitolea katika kuchangia thamani hizo kwake imekuwa ni faraja kubwa na kuona kuwa taasisi za kifedha kuwa ina wajali wanan jamii iliyo wazunguka na kuona faida yake.

Mhe Ligazio aliwaomba mameneja wa NMB MOrogoro Baraka Ladislaus na Abdalah Chakachaka NMB tawila Ifakara kuhakisha kutokata tama kwa kuona jamii inayo wazunguka ina endelea vuizuri na ndivyo itakavyo pata wateja wazuri na kuwapamoja hususani kauli ya Chakachaka kuwa eleza wana jamii kufungua akanti ya motto katika kukuza elimu
 MENEJA WA NMB BARAKA LADISALUS AKIKABITHIANA MEZA NA MWENYEKITI WA HALMASHAURI DEVDI LIGAZIO.
 MWNYEKITI HALMASHAURI DEVID LIGAZIO AKIMKABDHI DAWATI DR JANETH BARONGO KAMU MKURUGENZIKATIKATI NI MENEJA NMB BARAKA LADISLAUS.
 BAADHI YA MAAFISA WA NMB  NA UWONGOZI WA HALAMASHAURI  WILAYA NA MWENYEKITI BOODI YA SHULE NA WALIMU WAKUU WOTE WAWILI KUTOKA KULIA NA WALIYOVALIA SUTI NI MAMANEJA NMB MOROGORO NA IFAKARA ALIYE SIMAMA
 KUTOKA KULIA MWENYE MIWANI NI MKUU WA SHULE YA SEKONDARI MCHOMBE  AKIFWATIWA NA MENEJA NMB IFAKARA  ABDALAHA CHAKA CHA NA AFISA UHUSIANAO NMB
 WALIYO SIMAMA WATATU NI MENEJA NMB BARAKA  AKIWAPUNGIA WANAFUNZI BAADA YA MAKABIDHIANO .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...