Meneja Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Nyanza Bottlers, Samwel Makenge (kushoto) akikabidhi zawadi ya fedha taslimu kiasi cha shilingi laki moja 100,000/= kwa Mkazi wa Mwanza, Carolyne Ngowi wakati wa hafla ya kuwakabidhi washindi wa Promosheni inayoendelea ya ‘Kunywaaah na Ushinde’ ambayo ilifanyika jana jijini humo. Promosheni hiyo ya miezi mitatu inaenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambayo imedhamiria kuwatunuku wateja wake pendwa ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola.
Meneja Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Nyanza Bottlers, Samwel Makenge (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa fedha taslimu kiasi cha shilingi laki moja 100,000/= wa Promosheni inayoendelea ya ‘Kunywaaah na Ushinde’, Marco Msaba (kushoto) na Carolyne Ngowi (kulia) ambao wote ni wakazi wa Mwanza. Hafla ya makabidhiano ya zawadi hiyo ilifanyika jana jijini humo. Kunywaah na Ushinde ni Promosheni ya miezi mitatu inayoenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambayo imedhamiria kuwatunuku wateja wake pendwa ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola.
Meneja Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Nyanza Bottlers, Samwel Makenge (wa pili kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa Promosheni inayoendelea ya ‘Kunywaaah na Ushinde’ ambao wamejishindia zawadi mbalimbali zikiwemo TV na fedha taslim wote wakiwa ni wakazi wa Mwanza. Hafla ya makabidhiano ya zawadi hiyo ilifanyika jana jijini humo. Kunywaah na Ushinde ni Promosheni ya miezi mitatu inayoenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambayo imedhamiria kuwatunuku wateja wake pendwa ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola.
Meneja Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Nyanza Bottlers, Samwel Makenge (kushoto) akikabidhi zawadi ya Runinga kwa Mkazi wa Mwanza, Shaban Ismail wakati wa hafla ya kuwakabidhi washindi wa Promosheni hiyo inayoendelea ya ‘Kunywaaah na Ushinde’ ambayo ilifanyika jana jijini humo. Promosheni hiyo ya miezi mitatu inaenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambayo imedhamiria kuwatunuku wateja wake pendwa ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...