Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira January Makamba akiongea wakati wa Kikao kilichokutanisha Wadau na Wazalishaji wa mifuko mbadala wa plastiki kilichofanyika katika ukumbi wa Julius Nyerere Convention Centre jijini Dar es Salaam.
  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira January Makamba akiwa pamoja na Waziri waNchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Angellah Kairuki, Waziri wa Viwanda na Biashara Joseph Kakunda wakati wa kikao Wadau wa uzalishaji na uwekezaji wa mifuko mbadala wa plastiki kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wadau wa uzalishaji na uwekezaji katika mifuko mbadala wa plastiki waliohudhuria kikao hiko katika ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Kikao hiko kiliandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira January Makamba akiteta jambo na  Waziri waNchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Angellah Kairuki wakati wa kikao cha Wadau na Wawkezaji wa mifuko mbadala wa plastiki kilichofanyika jijini Dar es Salaam. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...