Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia wananchi wa Busokelo wilayani Rungwe katika mkoa  wa Mbeya wakati sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi wa barabara ya

lami ya Katumba-Busokelo-Tukuyu yenye urefu wa Kilometa 81.3 ambapo kilometa 10 kati yake ujenzi umeshakamilika. Pamoja naye ni Mbunge na Waziri Mstaafu Profesa Mark Mwandosya na mkewe Mama Lucy Mwandosya.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Busokelo wilayani Rungwe katika mkoa wa Mbeya wakati sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi wa barabara ya

lami ya Katumba-Busokelo-Tukuyu yenye urefu wa Kilometa 81.3 ambapo kilometa 10 kati yake ujenzi umeshakamilika. Pamoja naye ni Mbunge na Waziri Mstaafu Profesa Mark Mwandosya na mkewe Mama Lucy Mwandosya na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila (kulia).
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisindikizwa na Mbunge na Waziri Mstaafu Profesa Mark Mwandosya na mkewe Mama Lucy Mwandosy baada ya sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi wa barabara ya lami ya Katumba-Busokelo-Tukuyu yenye urefu wa Kilometa 81.3 ambapo kilometa 10 kati yake ujenzi umeshakamilika.
.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi wengine akikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi wa barabara ya lami ya Katumba-Busokelo-Tukuyu yenye urefu wa Kilometa
81.3 ambapo kilometa 10 kati yake ujenzi umeshakamilika.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaga wananchi  baada ya sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi wa barabara ya lami ya Katumba-Busokelo-Tukuyu yenye urefu wa Kilometa
81.3 ambapo kilometa 10 kati yake ujenzi umeshakamilika.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi  eneo la Suma wakati akielekea kuuweka jiwe la msingi wa barabara ya lami ya Katumba-Busokelo-Tukuyu yenye urefu wa

Kilometa 81.3 ambapo kilometa 10 kati yake ujenzi umeshakamilika.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifunua pazia akisaidiana na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila  kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi wa barabara ya lami ya
Kikusya-Ipinda-Matema yenye urefu wa Kilometa 39.1 ambayo itagharimu shilingi Bilioni 65
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na  Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila  baada ya kuweka jiwe la msingi wa barabara ya lami ya Kikusya-Ipinda-Matema
yenye urefu wa Kilometa 39.1 ambayo itagharimu shilingi Bilioni 65
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na viongozi wengine akikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi wa barabara ya lami ya Kikusya-Ipinda-Matema yenye urefu wa Kilometa 39.1 ambayo itagharimu shilingi Bilioni 65.
.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na  wananchi na kusikiliza kero zao eneo la Tenende, Kyela, baada ya kuweka jiwe la msingi wa barabara ya lami ya Kikusya-Ipinda-Matema yenye urefu wa Kilometa 39.1 ambayo itagharimu shilingi Bilioni 65.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...