Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wafanyakazi wa ndege ya Bombadier Q400 ya ATCL aliyotumia kusafiria kutoka Dar es salaam hadi Mtwara alikoanza ziara ya kikazi ya siku tatu leo Aprili 2, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasisius Byakanzwa alipowasili kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Mkoani Mtwara, leo Aprili 2, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasisius Byakanzwa na viongozi wengine alipowasili kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Mkoani Mtwara leo Aprili 2, 2019. PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...