Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na wafanyakazi wa ndege ya Bombadier Q400 ya ATCL
aliyotumia kusafiria kutoka Dar es salaam hadi Mtwara alikoanza ziara
ya kikazi ya siku tatu leo Aprili 2, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasisius Byakanzwa
alipowasili kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Mkoani Mtwara, leo Aprili 2, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasisius Byakanzwa na
viongozi wengine alipowasili kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Mkoani Mtwara leo
Aprili 2, 2019.
PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...