Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Mafinga
mara baada ya kuwasili wakati akitokea Makambako mkoani Njombe.
. Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza kijana Baraka
Mwakipesile (Anko Magu) wa Mafinga ambaye anaigiza sauti ya Rais Dkt.
Magufuli mara baada ya kupewa nafasi ya kuzungumza.
Umati wa Wananchi wa Mafinga
wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli wakati alipokuwa akizungumza nao.
Baraka Mwakipesile (Anko Magu)
Kijana anayeigiza sauti ya Rais Dkt. Magufuli akipiga makofi wakati Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa
akihutubia. Picha na IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...