RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Rais wa Shirikisho la la Michezo la Jumuiya ya Madola Bi. Dame Louis Martin alipowasili katika ukumbi wa mkutano Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo leo,11-4-202019
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Rais wa Shirikisho la Michezo la Jumuiya ya Madola Bi. Dame Louis Martin, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo leo, 11-4-2019. akiwa na Ujumbe wake.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiuliza Rais wa Shirikisho la Michezo ya Jumuiya ya Madola Bi. Dame Louis Martin, alipofiki Ikulu Zanzibar , kuonana na kufanya mazungumzo leo 11-4-2019.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Rais wa Shirikisho la Michezo ya Jumuiya ya Madola Bi. Dame Louis Martin, kushoto akiwa na Ujumbe wake walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo leo.11-4-2019
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiongozana na Mgeni wake Rais wa Shirikisho la Michezo ya Jumuiya ya Madola Bi. Dame Louis Martin, wakitowa ukumbi wa mkutano baada ya mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Zanzibar 11-4-2019
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na mgeni wake baada ya kumaliza mazungumzo yao Bi. Dame Louis Martin yaliofanyika Ikulu Zanzibar leo.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...