Rais wa Ugandam Yoweri Museveni leo amepokea ndege mbili za kwanza wakati nchi hiyo inapofufua Shirika lake la ndege la Uganda Airlines.

Kiongozi huyo alikuwa kwenye uwanja wa ndege wa Entebbe kupokea ndege hizo aina ya Bombardier CRJ900. Museveni alisema kamwe hatoruhusu shirika hilo linaloirejeshea nchini yake hadhi yake liangamie tena

 Rais wa Ugandam Yoweri Museveni leo na Mama Janeth Museveni wakipungia wakati wakiingia kuikagua moja ya ndege hizo
 Rais wa Ugandam Yoweri Museveni leo na Mama Janeth Museveni wakiwa ndani ya  moja ya ndege hizo 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...