Spika wa Bunge,Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa, Ndg. Raymond Mwangwala alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa, Ndg. Raymond Mwangwala alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa, Ndg. Raymond Mwangwala alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...