Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa China nchini Wang KE mapema leo Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Balozi wa China nchini Wang KE mapema leo Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa China nchini Wang KE mapema leo Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kulia) akiagana na Balozi wa China nchini Wang KE mara baada ya kuzungumza naye mapema leo Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.PICHA NA BUNGE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...