Ndugu Ephraim Kinabo Lyaruu wa Sinon Lemara Arusha anasikitika kutangaza kifo cha mdogo wake Engineer  Isaac Hipollyte Lyaruu , kilichotokea tarehe 22/04/2019 katika hospital ya Mount Meru, Arusha .

 Mipango ya Mazishi inafanyika nyumbani kwake AICC Arusha, Mazishi yatafanyika siku ya jumamosi Tarehe 27/04/2019 Shambani kwake Himo Moshi,njia panda ya Kilema ,habari ziwafikie  ndugu,jamaa na marafiki .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...