Ndugu Ephraim Kinabo Lyaruu wa Sinon Lemara Arusha anasikitika kutangaza kifo cha mdogo wake Engineer Isaac Hipollyte Lyaruu , kilichotokea tarehe 22/04/2019 katika hospital ya Mount Meru, Arusha .
Mipango ya Mazishi inafanyika nyumbani kwake AICC Arusha, Mazishi yatafanyika siku ya jumamosi Tarehe 27/04/2019 Shambani kwake Himo Moshi,njia panda ya Kilema ,habari ziwafikie ndugu,jamaa na marafiki .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...