Wageni waalikwa wakiwa na mwenyeji wao Balozi wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dr. Wilbroad Slaa meza kuu kwenye kongamano la Diaspora linalofanyika ndani ya meli ya abiria, kongamano hilo la siku tatu linalorushwa moja kwa moja na TBC1 ni kongamano la siku 3 ambalo linatarajiwa kumalizika April 11, 2019. Wageni waliotoka Tanzania ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai. katibu katika ofisi ya Rais Zanzibar, Mhe.Salum Maulid Salum, Mkurugenzi kitengo cha Diaspora Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano Afrika Mashariki Balozi Amisa Mbaga. Wageni wengine waalikwa walikuwepo kwenye mkutano huo ni Ms Asa Jarskog (President-Sweden Subsaharan Africa Chember of Commerce, Mr. Rukwaro Senkoro (Azania Bank), Mr. Octavian Mshiu ( Ag. President-Tanzania Chember of Commerce, Industry and Trade), Mrs Genevieve Kasanga (Head of Communications, Equinor, Tanzania AS), Ms Lucy K. Naivasha (Manager Diaspora Banking- CRDB) na Christine Chambay ( Chairpesrson Tanzania Diaspora Chember of Commerce and Industry) Picha na NY Ebra Vijimambo Blog

Kulia ni Balozi wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dr. Wilbroad Slaa akijiandaa kukabidhi zawadi ya kitabu kinachoitwa Dreamers & Doers kwa wageni katika meza kuu kwenye kongamano la uwekezaji chini ya TDC Global kati ni Mwenyekiti wa TDC Global Bwn. Norman Jason na mwingine katika picha ni mmoja ya viongozi TDC Global Bwn. Jeff Msangi ni ndiye mshereheshaji kwenye kongamano hilo.
Wadau mbalimbali Diaspora kutoka kila pembe ya Dunia wakifuatilia kongamano.
Mmoja ya wawekezaji Slim akiongea jambo kwenye kongamano hilo.
Wadau waliojitokeza kwenye kongamano hilola uwekezaji nchini Sweden.

Wadau mbalimbali Diaspora wakifuatilia kongamano.
Kongamano likiendelea.

Kongamano la siku tatu likiendelea ndani ya meli ya abiria.
PICHA CHINI NI WAKATI WA KUTOA ZAWADI YA KITABU CHA DREAMERS & DOERS KWA WAGENI.


Mwenyekiti wa TDC Global akiwatambulisha familia yake (mke na watoto)
Familia ya mwenyekiti wa TDC Global ikipata picha ya kumbukumbu na wageni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...