Muonekano wa taa ambazo zimefungwa katika ukuta uliozunguka machimbo ya madini ya Tanzanite eneo la Mererani, Wilayani Simanjiro mkoani Arusha. Mradi huo umesimamiwa na Mameneja Wakala wa Ufundi na Umeme nchini TEMESA kutoka mikoa ya Dodoma, Arusha pamoja na Kilimanjaro.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle wa pili kushoto akikagua mojawapo ya taa ambazo zimefungwa na Wakala huo katika ukuta uliozunguka machimbo ya madini ya Tanzanite eneo la Mererani, Wilayani Simanjiro mkoani Arusha.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle wa pili kushoto akitoa maagizo kwa mameneja wa Wakala huo ambao wameshirikiana kusimamia ufungaji wa taa katika ukuta uliozunguka machimbo ya madini ya Tanzanite eneo la Mererani, wilayani Simanjiro mkoani Arusha. Kutoka kushoto ni Meneja mkoa wa Arusha Mhandisi Heriel Mteri, Meneja wa Kilimanjaro Mhandisi Ferdinand Mishamo, pamoja na Meneja mkoa wa Dodoma Mhandisi Liberatus Bikulamchi (wa kwanza kulia).
Muonekano wa taa ambazo zimefungwa katika ukuta uliozunguka machimbo ya madini ya Tanzanite eneo la Mererani, Wilayani Simanjiro mkoani Arusha. Mradi huo umesimamiwa kwa pamoja na Mameneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kutoka mikoa ya Dodoma, Arusha pamoja na Kilimanjaro.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle wa nne kushoto pamoja na mameneja wakikagua kazi ya ufungaji wa taa katika ukuta uliozunguka machimbo ya madini ya Tanzanite eneo la Mererani, Wilayani Simanjiro mkoani Arusha. Mradi huo umesimamiwa na meneja wa Wakala huo kutoka mikoa ya Kilimanjaro Mhandisi Ferdinand Mishamo (wa pili kushoto), meneja wa Arusha Mhandisi Heriel Mteri (wa tatu kushoto) pamoja na Meneja wa mkoa wa Dodoma Mhandisi Liberatus Bikulamchi (wa tatu kulia).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...