Meneja wa Biashara na Mkakati wa Mauzo wa Vodacom Tanzania Plc kanda ya Dar es Salaam na Pwani, Caleb Majo (kushoto) akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha Uongozi wa Fedha (IFM) wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo na uelewa wa teknolojia za kifedha jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Semina hiyo imefanyika chini ya Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na Taasisi ya Green Hope ili kuhakikisha wanafunzi hao wanapata ufahamu wa teknolojia hizo na mchango wake katika kuchochea ushirikishwaji wa kifadha.
Meneja wa Biashara na Mkakati wa Mauzo wa Vodacom Tanzania Plc kanda ya Dar es Salaam na Pwani, Caleb Majo (kushoto) akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha Uongozi wa Fedha (IFM) wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo na uelewa wa teknolojia za kifedha jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Meneja mauzo wa eneo la katikati ya jiji wa Vodacom Tanzania Plc, George Nyanda (kulia) akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha Uongozi wa Fedha (IFM) wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo na uelewa wa teknolojia za kifedha jana jijini Dar es Salaam. Semina hiyo imetolewa chini ya Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na Taasisi ya Green Hope ili kuhakikisha vijana wanapata ufahamu wa teknolojia hizo na mchango wake katika kuchochea ushirikishwaji wa kifedha.
Meneja mauzo wa eneo la katikati ya jiji wa Vodacom Tanzania Plc, George Nyanda (kulia) akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha Uongozi wa Fedha (IFM) wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo na uelewa wa teknolojia za kifedha jana jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...