Mkuu wa Bidhaa wa Vodacom, Linda
Riwa (wapili kulia) na Devota Kijogoo (kulia) wakifurahia katika hafla
ya uzinduzi wa duka la Vodacom Masaki, mapema leo. Kampuni hiyo
inaendelea kutanua apatikananji wa huduma zake ili kuhakikisha kwamba
wateja wake wanapata huduma bora.
Mkuu wa Bidhaa wa Vodacom, Linda
Riwa (wapili kulia) na Devota Kijogoo (kulia) wakikata utepe kuzindua
duka la Vodacom Masaki mapema leo. Kampuni hiyo inaendelea
kutanua apatikananji wa huduma zake ili kuhakikisha kwamba wateja wake
wanapata huduma bora.
Mkuu wa Bidhaa wa Vodacom, Linda
Riwa (watatu kulia) na Devota Kijogoo ( wapili kulia) wakikata keki
katika hafla ya uzinduzi wa duka la Vodacom Masaki. Kampuni hiyo
inaendelea kutanua apatikananji wa huduma zake ili kuhakikisha kwamba
wateja wake wanapata huduma bora.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...