Uchimbaji wa mitaro wa ajili ya kulaza mabomba ukiendelea.

Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja akitoa maelekezo wakati akikagua ulazaji wa mabomba ya maji kutoka kwenye tenki la Kibamba na kuelekea tenki la Kisarawe kwa ajili ya kuwapatia maji kwa wakazi wa Pwani. 
Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja  (wa tatu toka kulia) akipata maelezo toka kwa Msimamizi wa mradi wa Usambazaji wa Maji Mhandishi Kakwezi wakati akikagua ulazaji wa mabomba ya maji kutoka kwenye tenki la Kibamba na kuelekea tenki la Kisarawe kwa ajili ya kuwapatia maji kwa wakazi wa Pwani. Picha zote na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG.

Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja akipata maelezo toka kwa Msimamizi wa mradi wa Usambazaji wa Maji Mhandishi Kakwezi wakati akikagua ujenzi wa tenki la Kibamba litakalokuwa likipeleka majisafi na salama kwenye tenki la Kisarawe kwa ajili ya kuwapatia maji kwa wakazi wa Pwani. 

Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja akitoa maelekezo mara baada ya kufika kwenye umaliziaji wa ujenzi tenki la Kisarawe litalokuwa likiwasambazia wakazi wa Pwani.
Mabomba.
Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja akitoa maelekezo mara baada ya kufika kwenye zoezi la uchimbaji wa mitaro ya kulaza mabomba.
Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja akishiriki katika uchimbaji wa mitaro eneo la Kisarawe- Pwani.
Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja akiongea na wanahabari na wananchi waliofika kuangalia zoezi la utandikaji wa mitaro kwa ajili ya kulaza mabomba itakayokuwa ikiwasambazia wakazi wa Pwani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...