Mmoja waendesha Pikipiki katika kata ya Mwandege Wilaya ya Temeke mkoani Pwani akiwa amepakia Mzigo wa Mkaa kuzidi uwezo wa chombo chake akiwa hawajavaa kofia ngumu akipita katika Barabara ya Kilwa kuelekea Dar es Salaam, jambo ambalo ni hatarisha kwa usalama wake.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV).
Wasafirishaji wa mkaa kwa kutumia pikipiki wakikatiza katika viunga vya Mwandege.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...