Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola akiwa pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro wakiingia katika ukumbi wa maafisa wa Polisi Oysterbay leo Jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa Baraza la wafanyakazi ndani ya Jeshi la Polisi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola (KUSHOTO) akiwa pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (KATIKATI) na Mwenyekiti wa TUGHE makao Makuu ya Polisi, Dominic Nyoni wakiimba wimbo wa “Solidarity Forever” katika ukumbi wa maafisa wa Polisi Oysterbay leo Jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa Baraza la wafanyakazi ndani ya Jeshi la Polisi. Picha na Jeshi la Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...