Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Mtumishi wa Ofisi ya Waziri
Mkuu, Cheka Kaviga, baada ya kufiwa na mtoto wake Samson Cheka,katika
kanisa la Mchungaji Mwema Ipagala jijini Dodoma Aprili 17, 2019. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa heshima ya mwisho kwa mtoto wa Mtumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Cheka Kaviga, baada ya kufiwa na mtoto wake Samson Cheka,katika kanisa la Mchungaji Mwema Ipagala jijini Dodoma Aprili 17, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...