Wakazi wa Kijiji na Kata ya Namiungo Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma hivi karibuni wakishughudia kuanza kwa zoezi la uchimbaji wa visima vya maji kijijini hapo kutoka kwa shirika lisilo la kiserikali la Safe Water for Life and Diginity (SWLD) kutoka nchini Marekani.
Zoezi la uchimbaji wa visima vya maji likiendelea katika Kijiji na Kata ya Namiungo Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma kutoka kwa shirika lisilo la kiserikali la Safe Water for Life and Diginity (SWLD) kutoka nchini Marekani wengine ni wakazi wa kijiji hicho hivi karibuni wakishuhudia zoezi hilo.

Mkazi wa Kijiji na Kata ya Namiungo Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma Rehema Mohamedi hivi karibuni akizungumzia changamoto ya maji inayowakabili wakazi hao baada ya waandishi wa habari kutembelea kijijii hapo hivi karibuni. (FATNA MWINYIMKUU)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...