Balozi Dkt.Ulisubisya Mpoki akimkabidhi Dkt.Albert Ulimali cheti cha mafuzo ya kutoa huduma za dawa ya usingizi na ganzi yaliyofanyika kwenye hoteli ya Peacock jijini Dar es salaam.
Balozi Dkt.Ulisubisya Mpoki akifunga Mkutano wa wataalamu wa kutoa huduma za dawa ya usingizi na ganzi iliyofanyika kwenye hoteli ya Peacock jijini Dar es salaam.
Baadhi ya wataalamu wa kutoa huduma za dawa ya usingizi na ganzi wakiwa kwenye mkutano uliofanyika katika hoteli ya Peacock jijini Dar es salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...