Balozi Dkt.Ulisubisya Mpoki akimkabidhi Dkt.Albert Ulimali cheti cha  mafuzo ya  kutoa  huduma za dawa ya usingizi na ganzi  yaliyofanyika kwenye hoteli ya Peacock jijini Dar es salaam.
 Balozi Dkt.Ulisubisya Mpoki  akifunga Mkutano wa  wataalamu wa kutoa  huduma za dawa ya usingizi na ganzi  iliyofanyika kwenye hoteli ya Peacock jijini Dar es salaam.

Baadhi ya wataalamu wa kutoa  huduma za dawa ya usingizi na ganzi wakiwa kwenye mkutano uliofanyika katika  hoteli ya Peacock jijini Dar es salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...