Basi LA Abiria Kampuni ya Arusha Express linalofanya safari zake Arusha, Bukoba lenye Namba za Usajili T 222 ABF limewaka moto na kuteketea sehemu kubwa ya Gari hilo, Ajali hiyo imetokea leo asubuhi eneo la kwa Kagambo Kilometa Mbili toka Stendi Bukoba. Abiria wote wamenusurika huku chanzo cha kuwaka moto kikibainishwa kuwa ni hitilafu ya Umeme kwenye gari hilo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...