Bei ya fungu la Magimbi ni kati ya  sh.1000/= mpaka 2000/= katika soko la Kinyerezi wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam kama inavyo onekana katika picha.
Baadhi ya wananchi wa maneo mbalimbali katika jiji la Dar es salaam wakiwa katika soko la Kinyerezi wilaya ya Ilala wakijipatia mahitaji yao mbalimbali ambapo na Maboga moja ni sh. 1000 mpaka 4000 Magimbi ni sh.1000 mpka 2000 (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
pichani ni Maboga moja ni sh. 1000 mpaka 4000 (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Bei za fungu la viazi katika soko la Kinyerezi wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam kama inavyo onekana katika picha.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...