Wafanyabiashara wa matunda  katika Soko la  Buguruni wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam wameeleza kuwa kwa sasa matunda yanapatikana kwa wingi ,Wachuuzi hao wamebainisha bei ya matunda hayo kulingana na ukubwa na ubora wenyewe.

Wakizungumza leo na Michuzi Tv  jijini Dar es Salaam wafanyabiashara  hao wamesema kwa sasa hali iko shwari na matunda yanauzika,wateja wao wamekuwa wakipita sokoni hapo kujipatia matuda mbalimbali kuligana na mahitaji yao.
 Bei ya Embe sokoni hapo ni kati ya Sh.300 hadi Sh.600  bei hiyo hiyo kwa wanaonunua kwa rejareja.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
 Bei ya machungwa katika soko la Buguruni wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam yanauzwa kati ya sh. 50 hadi 100 kwa bei ya jumla.
 Bei ya Nanasi katika Soko la Buguruni linauzwa kati shilingi. 500 hadi shilingi 3500.
Bei ya tikitiki maji ni kati ya Sh 500 hadi Sh. 3000.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...