Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NIC Tanzania, Margaret Karume akiowaongoza baadhi ya wageni na wateja wa benki hiyo katika iftar iliyoandiliwa kwa ajili ya wateja wao katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam jana.
Baadhi ya wageni na wateja wa NIC Bank wakipata iftar kwa pamoja iliyoandalia na benki hiyo katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NIC Tanzania, Margaret Karume (kulia) akizungumza na wateja wa benki hiyo baada ya iftar iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja wake, katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...