Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum, akizungumza katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya Barclays Tanzania kwa wateja wake jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

 Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Barclays, Aron Luhanga (kushoto), akizungumza na Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum (kulia), pamoja na Mkurugenzi wa Habari katika Ofisi ya Shehe wa Mkoa, Tabu Kawambwa katika hafla hiyo.  
 Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya Barclays Tanzania, Hellen Siria (kulia), akisaidia kugawa mlo wa futari kwa baadhi ya waalikwa katika hafla hiyo. 
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays Tanzania, Abdi Mohamed (katikati), pamoja na baadhi ya wageni waalikwa wakifuturu katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wao jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Baadhi ya wageni waalikwa wakishiriki mlo wa futari uliondaliwa na Benki ya Barclays Tanzania jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...