Taaarifa iliyotufikia kwa masikitiko makubwa katika chumba cha habari ya Globu ya Jamii zinazeleza kuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP , Dkt Reginald Abraham Mengi amefarikia Dunia akiwa Dubai, U.A.E, usiku wa kuamkia leo.
Kufuatia msiba huo Mkubwa kwa Taifa,tutaedeleea kuwaletea taarifa kamili kadiri ya zitakavyokuwa zikiingia.
Michuzi Media Group inatoa pole kwa ndugu zetu wa IPP, Familia ya Marehemu na wote walioguswa na msiba huu kwa namna moja nyingine.
Mungu ailaze roho ya Marehemu , mahali pema, peponi -AMEN
Mungu ailaze roho ya Marehemu , mahali pema, peponi -AMEN
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...