Taaarifa iliyotufikia kwa masikitiko makubwa katika chumba cha habari ya Globu ya Jamii zinazeleza kuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP , Dkt Reginald Abraham Mengi amefarikia Dunia akiwa Dubai, U.A.E, usiku wa kuamkia leo. 

Kufuatia msiba huo Mkubwa kwa Taifa,tutaedeleea kuwaletea taarifa kamili kadiri ya zitakavyokuwa zikiingia. 

Michuzi Media Group inatoa pole kwa ndugu zetu wa IPP, Familia ya Marehemu na wote walioguswa na msiba huu kwa namna moja nyingine.

Mungu ailaze roho ya Marehemu , mahali pema, peponi -AMEN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...