Wanakikundi kutoka eneo la Lemara jijini Arusha waliopata mafunzo ya muda mfupi ya kutengeneza mifuko ya karatasi ili kuendana na sera ya serikali kuondoa matumizi ya mifuko ya nailoni,mafunzo hayo yametolewa na wakufunzi wa Chuo cha Tanganyika Polytechnic jijini Arusha.
Wanakikundi kutoka eneo la Lemara jijini Arusha waliopata mafunzo ya muda mfupi ya kutengeneza mifuko ya karatasi ili kuendana na sera ya serikali kuondoa matumizi ya mifuko ya nailoni,mafunzo hayo yametolewa na wakufunzi wa Chuo cha Tanganyika Polytechnic jijini Arusha. 
Mmoja wa walionufaika na mafunzo ya kutengeneza mifuko ya karatasi katika Chuo cha Tanganyika Polytechnic ,Bakari Juma akitoa ushuhuda namna inavyomwingizia kipato kutokana na mahitaji kuongezeka. 
Meneja wa shirika la Sido mkoa wa Arusha,Nina Nchimbi akizungumza wakati wa hafla ya kufunga mafunzo kwa wajasiriamali wa kutengeneza mifuko ya karatasi ,kushoto ni Mkurugenzi wa ubunifu wa Chuo cha Tanganyika Polytechnic kilichota mafunzo hayo,Dk Richard Masika na Mkuu wa Chuo,Abdul Semvua. 
Mkurugenzi wa ubunifu wa Chuo cha Tanganyika Polytechnic kilichopo Njiro,Dk Richard Masika akizungumza katika hafla hiyo. 

Meneja wa Sido mkoa wa Arusha,Uongozi wa Chuo pamoja na wahitimu wa mafunzo ya kutengeneza mifuko ya karatasi wakiwa katika picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...