Mkuu wa MKoa wa Kagera Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti. akikabidhi zawadi kwa maharusi .
Pichani RC Gaguti akiongoza Wageni waalikwa kutoa zawadi kwa Maharusi, kisha kupiga picha ya pamoja muda mfupi kabla ya kuondoka pale.
Pichani akiwasili Mhe. Naibu waziri wa Kilimo na Mbunge Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa pamoja na msafara wake wakiingia Ukumbini.
Msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti Ukiingia Ukumbini kuungana na Wageni wengine waalikwa.
Ukafika muda wa kukata utepe na kufungua sherehe rasmi, kama inavyooneka katika Picha
Bango la shughuli nzima
Muonekano wa Jukwaa la Maharusi likiwa limenakishiwa vyema na Mapambo mazuri na Kazi Nzuri kutoka Mama Lily Decoration wa Kayanga Karagwe.
Keki iliyoandaliwa rasmi kwa ajili ya maharusi na makundi mbalimbali wakiwemo wazazi wa maharusi, kama inavyoonekana katika Picha.
Kati ya washereheshaji waliohakikisha kila kitu kinakaa sawa ni pamoja Mshereheshaji Tajiri wa Kigoma maarufu Brother K wa Futuhi, kama anavyoonekana akiwajibika.
Wazazi wazaa chema wa Bwana Harusi Dominius wakiingia Ukumbini
Burudan kidogo ikachukua nafasi yake na sehemu ya waalikwa wakijimwaga uwanjani kunyoosha miguu kama inavyoonekana.
Katika Picha hii anaonekana Mtumishi wa Mungu akikabidhi Msalaba kwa Baba Mzazi wa Dominius ambae ni Mwenyekiti wa CCM-Kyerwa, kama ishara ya Kubariki eneo la kufugia (Farm) ambapo sherehe za Harusi zimefanyika.
Wapendao Hawa Dominius na Proscovia wakapata nafasi ya kukata na kula keki
Maharusi wakijimwaya mwaya wakati wakiingia eneo la sherehe
Pichani waaonekana wakicheza kwa furaha na shangwe paina kulazimishwa, Maharusi Dominus na Proscovia wakiwa wanameremeta.
Wapambe wa maharudi wakiserebuka uwanjani
Wapendao Hawa Dominius na Proscovia wakapata nafasi ya kukata na kula keki
Wapendao Hawa Dominius na Proscovia mara baada ya kulishana keki
Wasaidizi wa Maharusi wakiingia Ukumbini.
Ilikuwa furaha na kutabasamu kwa maharusi hao
Msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti Ukiingia Ukumbini kuungana na Wageni wengine waalikwa.
Ukafika muda wa kukata utepe na kufungua sherehe rasmi, kama inavyooneka katika Picha
Bango la shughuli nzima
Muonekano wa Jukwaa la Maharusi likiwa limenakishiwa vyema na Mapambo mazuri na Kazi Nzuri kutoka Mama Lily Decoration wa Kayanga Karagwe.
Keki iliyoandaliwa rasmi kwa ajili ya maharusi na makundi mbalimbali wakiwemo wazazi wa maharusi, kama inavyoonekana katika Picha.
Kati ya washereheshaji waliohakikisha kila kitu kinakaa sawa ni pamoja Mshereheshaji Tajiri wa Kigoma maarufu Brother K wa Futuhi, kama anavyoonekana akiwajibika.
Wazazi wazaa chema wa Bwana Harusi Dominius wakiingia Ukumbini
Burudan kidogo ikachukua nafasi yake na sehemu ya waalikwa wakijimwaga uwanjani kunyoosha miguu kama inavyoonekana.
Katika Picha hii anaonekana Mtumishi wa Mungu akikabidhi Msalaba kwa Baba Mzazi wa Dominius ambae ni Mwenyekiti wa CCM-Kyerwa, kama ishara ya Kubariki eneo la kufugia (Farm) ambapo sherehe za Harusi zimefanyika.
Wapendao Hawa Dominius na Proscovia wakapata nafasi ya kukata na kula keki
Maharusi wakijimwaya mwaya wakati wakiingia eneo la sherehe
Pichani waaonekana wakicheza kwa furaha na shangwe paina kulazimishwa, Maharusi Dominus na Proscovia wakiwa wanameremeta.
Wapambe wa maharudi wakiserebuka uwanjani
Wapendao Hawa Dominius na Proscovia wakapata nafasi ya kukata na kula keki
Wapendao Hawa Dominius na Proscovia mara baada ya kulishana keki
Wasaidizi wa Maharusi wakiingia Ukumbini.
Ilikuwa furaha na kutabasamu kwa maharusi hao
Wazazi wazaa chema wa Bwana Harusi Dominius wakiingia Ukumbini
Wapambe wa Maharusi wakiingia kwa mbwembwe na bashasha kubwa wakionekana kucheza kwa shangwe.
Pichani, Burudani kutoka Kikundi cha Sanaa Chanika Karagwe ikichukua nafasi yake,
Pichani Ni moja kati ya Kaunta sita za Vinywaji zilisheheni vinywaji Vilaini na Vikali, kama vinavyoonekana, mpaka Harusi inatamatika Vinywaji vilibaki Kaunta zote.
Kama ilivyokuwa katika Vinywaji pia upande wa nyama choma na Kuku nako hivyohivyo, majiko manne kwa ajili ya michomo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...