Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimkabidhi Kombe la Ubingwa wa Netball Nahodha wa timu ya Ofisi ya
Rais Ikulu Sophia Komba wakati wa Sherehe za Siku ya Wafanyakazi
Duniani (Mei Mosi) katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya Leo Jumatano
Mei 1, 2019. Timu hiyo imetwaa kombe hilo kwa mara ya tatu mfululizo
PICHA NA IKULU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...