Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu ch Dar es Salaam, Prof Rwekaza Mukandala akizungumza na Waandishi kuhusu mada ya leo katika kigoda cha mwalimu ilihusu kuwawezesha watotokupata elimu na kupingana na ajira za mapema wakiwa katika umri wa kwenda shuleni.
Mkurugenzi wa Haki Elimu Tanzania, Dr.John Kallage akizungumza na Wanazuoni waliofika katika Kigoda cha Mwalimu Nyerere,Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam
Mjumbe wa bodi wa LHRC, Felister Mahuya akizungumza katika Kigoda Cha Mwalimu Nyerere kilichofanyika jijini Dar es Salaam
Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu ch Dar es Salaam, Prof Rwekaza Mukandala , akiwa na Jaji Damiani Lubuva wakifatilia Mjadala wa kujadili elimu kwa watoto wadogo
Wachambuzi wa mada katika kigoda cha Mwalimu Nyerere , wakiwa katika Panelist
Washiriki wa Kongamano la Kigoda cha Mwalimu Nyerere wakinyooosha mikono Kuchangia mada
Msanii wa Muziki wa Kughani kutoka Mjomba Bendi , Mrisho Mpoto akiwa amezungukwa na Wasomi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya kutoka Mjomba Bendi, Ismail akiongoza Burudani katika kigoda cha Mwalimu
Sehemu ya Washiriki wa Kigoda cha Mwalimu Nyerere Katika Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...