Mwenyekiti wa kundi la Uzalendo Kwanza na Mugizaji wa Filamu Nchini, Steve Nyerere akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Makubaliano ya Wasaniii wa kampeni ya uzalendo kwanza na kampuni ya KC Land Development Plan Ltd kuhusu Mpango wao wa kukopeshwa Viwanja kwa gharama nafuu pasipokuwa na riba Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya KC Land Development Plan Ltd,Khalid Mwinyi akitoa maelezo juu ya mradi na Viwanja vitakavyojulikana kama mji wa Wasanii Msaniii wa na Meneja wa Bendi ya Twanga Pepeta, Luiza Mbutu akieleza ni namna gani bendi yake itakavyotumbuzi siku ya chakula cha pamoja baina ya Wasanii na Kampuni ya KC Land Development Plan Ltd Msanii mkongwe wa Filamu nchini Chick Mchoma akieleza faida za wasanii watakaochukua Viwanja vya Kampuni ya KC Land Development Plan Ltd ambavyo vinalipwa ndani ya miaka miwili kwa gharama nafuu Msanii mMahaurufu wa mvchezo wa Bongo Dar es Salaam, Kuwa Kikumba maharufu kama Dude akieleza nini kama wasanii watakwenda kufanya kuhakikisha kuwa wanamiliki viwanja hivyo  Promota wa Mchezo wa Ngumi ambaye ni Mwanachama wa kundi la Uzalendo kwanza akieleza faida za Viwanja hivyo kwa mabondia ambao wamekuwa wakipata pesa na kufanya anasa pasipo kumiliki ardhi Msanii wa kike wa Siku nyingi Maya akieleza namana wasanii wakike watakavyokwenda kumiliki nyumba zao na kuacha kunyanyasika Wasanii kwa pamoja wakiwa wamesimama kama ishara ya kumkumbuka Mzee Reginald Mengi aliyetutoka usiku wa kuamkia leo.Sehemu ya Waandishi wa habari walioshiriki mkutano huo wakitimiza majukumu yao kama wanavyoonekana pichani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...