Ni miaka 13 tangu utuache mama, na hatujapata mbadala! Hakika Mama Hana mbadala! 

We miss you so much ucheshi, Upendo, hekima, busara zako Bado zinazunguka fikara zetu. 

Mama hatuishi kukutaja Kila iitwayo Leo. Hata nieleze kwa maneno yote haitoshi kukuelezea Mama, Mungu akupumzishe mahali pema peponi!!

Daima uko mioyoni mwetu tulikupenda na hata Sasa tunakupenda Mama.

Peter, Petty na Angela Msechu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...