Mwanamziki wa nyimbo za kizazi kipya, Maua Sama akitumbuiza wakati wa uzinduzi wa nywele za zambarau kutoka Kampuni ya Darling uliofanyika katika Ukumbiwa King Solomoni Kinondoni usiku wa kumkaia leo jijini Dar es Salaam.
Wanamitindo kutoka Kampuni ya Shahbaaz wakionyesha mitindo mbalimbali ya matumizi ya nywele wakati wa uzinduzi wa nywele za zambarau(purple) kutoka Kampuniya Darling uliofanyika katika Ukumbiwa King Solomoni Kinondoni usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...