Mwanamziki wa nyimbo za kizazi kipya, Maua Sama akitumbuiza wakati wa uzinduzi wa nywele za zambarau kutoka Kampuni ya Darling uliofanyika katika Ukumbiwa King Solomoni Kinondoni usiku wa kumkaia leo jijini Dar es Salaam.
Wanamitindo kutoka Kampuni ya Shahbaaz wakionyesha mitindo mbalimbali ya matumizi ya nywele wakati wa uzinduzi wa nywele za zambarau(purple) kutoka Kampuniya Darling uliofanyika katika Ukumbiwa King Solomoni Kinondoni usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...