Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo
mbalimbali barabara za wilaya ya Mkuranga mko wa Pwani zimekata mawasiliano
na kufanya baadhi huduma za kijamii kushindwa kufanyika kama zinavyo
onekana katika picha. Barabara zilizokata mawasiliano ni barabara
ya kata
ya Kimanzichana,Kata ya Lukanga,Kisayani Mlela kata ya Mbezi.
Muonekano wa Daraja
la mto Mlonga likiwa
limekatikatika ambalo lipo kati ya Kiparang’anda Kutokana na mvua zinazoendelea katika kunyesha katika maeneo mbalimba barabara za wilaya ya Mkuranga mko wa Pwani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tiv.
Muonekano
wa barabara kata ya Kimanzinchana wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani kama ionekanavyo vyone
katika picha.
Muonekano wa barabara kata ya Kimanzichana wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani kamainevyone katika picha.
Muonekano wa barabara kata wa barabara ya Kata ya Lukanga.
Wananchi wa Kisayani Mlela kata ya Mbezi wakivuka mto baada ya Kalvati kukatika Kutokana na mvua zinazoendelea katika kunyesha katika maeneo mbalimba barabara za wilaya ya Mkuranga mko wa Pwani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tiv.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...