Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika  maeneo mbalimbali barabara  za wilaya ya Mkuranga mko wa Pwani zimekata mawasiliano na kufanya baadhi huduma za kijamii kushindwa kufanyika  kama zinavyo onekana katika picha. Barabara zilizokata mawasiliano ni barabara ya   kata ya Kimanzichana,Kata ya Lukanga,Kisayani Mlela kata ya Mbezi.
 Muonekano wa Daraja la  mto Mlonga likiwa limekatikatika ambalo lipo kati ya Kiparang’anda Kutokana na mvua zinazoendelea katika kunyesha katika  maeneo mbalimba barabara  za wilaya ya Mkuranga mko wa Pwani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tiv.
 Muonekano wa barabara  kata ya Kimanzinchana   wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani kama ionekanavyo vyone  katika picha.
  Muonekano wa barabara  kata ya Kimanzichana   wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani kamainevyone  katika picha.
Muonekano wa barabara  kata wa barabara ya  Kata ya Lukanga.

Wananchi wa Kisayani Mlela kata ya Mbezi wakivuka mto baada ya Kalvati kukatika Kutokana na mvua zinazoendelea katika kunyesha katika  maeneo mbalimba barabara  za wilaya ya Mkuranga mko wa Pwani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tiv.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...