Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Katavi Amos Makala (kulia)  hii leo amekabidhi rasmi ofisi kwa mkuu wa mkoa mpya Mh Juma Homera aliyepewa nafasi hiyo baada ya Makalla kutenguliwa  nafasi ya ukuu wa mkoa huo na Rais Dkt John Magufuli hivi karibuni.

======  ======   ======== ======

- Asema Amekitumia Chama cha mapinduzi na Umoja wa vijana kwa Muda mrefu na  vipaji, uzoefu alionao atandelea kuwa Kada wa mstari wa Mbele  wa Chama cha Mapinduzi

- Amemshukuru Rais Dr John  Pombe Magufuli kwa kumuamini kwa nafasi ya Ukuu wa Mkoa kwa miaka 4

Amesema mwaka 2015 Alipokosa Ubunge ilitosha yeye kubaki mwananchi na mwana ccm tu huko Mvomero  Rais wa awamu ya 4  mhe Jakayla Kikwete alimteua kuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro na  Rais Dr John Magufuli alimteua kuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya  na baadaye Katavi

- Amewashukuru wananchi na viongozi wa ngazi zote dini na serikali kwa kumpa ushirikiano katika Kipindi cha miezi 10 alipokuwa mkuu wa mkoa wa Katavi na Amewaomba wananchi na viongozi wampe ushirikiano wa kutosha mkuu wa mkoa Mpya Juma Homela

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...