IKiwa siku chache zimepita tangu kuzinduliwa wiki ya Usalama Barabarani jijini Dar,  hali ya bado si salama sana kwa vyombo vya moto.Pichani ni ajali iliyotokea maeneo ya Kawe-JKT  jana jioni kama uonavyo pichani,na kusababisha foleni  kubwa wakati Askari usalama wa Barabarani akisubiriwa kuja kuchukua hatua za kisheria.Madereva tunaoendesha vyombo vya moto tunapaswa kuwa makini muda wote tuendeshapo,kuepuka madhara ya ajali kama tukio hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...