RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza wakati wa Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi, wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, uliofanyika Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar, 22-5-2019.
 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Mohammed Aboud Mohammed, akiwasilisha maelezo ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa kipindi cha mwezi wa Julai 2018 hadi March 2019 wa Wizara yake uliofanyika Ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar leo.22-5-2019 kulia Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na kushoto Naibu Waziri Mhe. Mihayo Juma N'hunga.
 WATENDAJI wa Idara za Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, wakifuatilia mkutano huo wa Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa kipindi cha mwezi Julai 2018 hadi Marchi 2019, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.
 Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Ndg.Seif Shaban Mohamed,akiwasiliza ripoto ya Matumizi na Mapato ya Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, katika mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Ofisi hiyo, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MNapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiongoza Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa kipindi cha mwezi Julai 2018 hadi March 2019, Ofisi ya Makamu wa Pili wac Rais wa Zanzibar, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni leo,22-5-2019, kushoto Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi.(Picha na Ikulu)
RAIS WA ZANZIBAR DKT.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR IKULU NDOGO KIBWENI ZANZIBAR

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...