Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai, Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson, Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe Jenista Mhagama na viongozi wa Wafanyakazi wakishuhudia maandamano ya wafanyakazi wakati wa sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya leo Jumatano Mei 1. 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai, Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson, Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe Jenista Mhagama na viongozi wa Wafanyakazi wakishikana mikono na kuimba wimbo wa MSHIKAMANO (Solidarity Forever) wakati wa sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya leo Jumatano Mei 1. 2019

 Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wafanyakazi wa Serikali, Taasisi mbalimbali za umma na binafsi  katika kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei mosi kitaifa iliyofanyika katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.  
 Ris wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa cheti cha mfanyakazi bora Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Majini na Nchi Kavu ( SUMATRA) Bw. Giliard Ngewe wakati wa Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) katika Uwanja wa Sokoine jijiani Mbeya Leo Jumatano Mei 1, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai, Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson, Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe Jenista Mhagama na viongozi wa Wafanyakazi wakishikana mikono na kuimba wimbo wa MSHIKAMANO (Solidarity Forever) wakati wa sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya leo Jumatano Mei 1. 2019

 Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Rais wa TUCTA pamoja na Viongozi wengine wakiimba wimbo wa Mshikamano katika kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Wafanyakazi Mei Mosi zilizofanyika katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa cheti cha mfanyakazi bora wa Shirika la Posta Bw. Madaraka Simba wakati wa Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya Leo Jumatano Mei 1, 2019
 Ris wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa cheti cha mfanyakazi bora Mkuu wa TEHAMA wa Wizara ya Fedha Bw. John Sausi wakati wa Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya Leo Jumatano Mei 1, 2019

 Wafanyakazi wakiwa katika shamrashamra za Mei mosi kitaifa iliyofanyika katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. 




 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaga wafanyakazi baada ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya Leo Jumatano Mei 1, 2019.

 Wafanyakazi wakiwa wameshikana mikono huku wakiimba wimbo wa mshikamano katika kilele cha maadhimisho ya sikukuu ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi  iliyofanyika katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
 Muonekano wa Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akihutubia Taifa wakati wa sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi leo Jumatano Mei 1. 2019
 PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...