RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiifariji Familia ya Marehemu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar Ndg. Juma Ali Juma Wajane wa Marehemu alipofika nyumbani kweke Kijichi  Wilaya ya Magharibi A Unguja kutowa mkono wa pole  leo asubuhi.(Picha na Ikulu) 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akishiriki katika kuusalia Mwili wa Marehemu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar Ndg, Juma Ali Juma, ikisaliwa katika Masjid ya Kijichi (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu wakiitikia dua baada ya kumaliza Sala ya Maiti ilioongozwa na Sheikh Said Seif Salam, iliofanyika katika Masjid ya Kijichi Wilaya ya Magharibi A Unguja.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Wananchi katika mazishi ya Marehemu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar Ndg, Juma Ali Juma, yaliofanyika katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar leo, (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu Juma Ali Juma yaliofanyika katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar leo.(Picha Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Wananchi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh Dkt. Muhiddin Ahmad Khamis, baada ya kumalizika mazishi ya Marehemu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar Ndg. Juma Ali Juma.(Picha na Ikulu)


NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwanda Ndg. Ali Khamis, akisoma wasifu wa Marehemu wakati wa mazishi yaliofanyika katika makaburi ya mwanakwerekwe Wilaya ya Magharibi B Unguja leo,(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...