RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni, wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara hiyokwa mwezi Julai 2018 hadi March2019.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, kushoto Mhe,. Mahmoud Thabit Kombo akisoma Utelelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, kwa mwezi wa Julai 2018 hadi March2019, uliofanyika Ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar na kushoto Naibu Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Chuom Kombo Khamis.
KATIBU Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee akizungumza wakati wa Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi, wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, hayuko pichani, uliofanyika Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar kushoto Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi.
 MAOFISA wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, wakifuatilia mkutano huo wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara yao kwa mwezi wa Julai 2018 hadi March 2019.uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.
 WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmaoud Thabit Kombo, akisoma Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, kulia Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na kushoto Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi.

 WAKUU wa Idara mbalimbali za Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar wakifuatilia mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.
 MKURUGENZI Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) Aiman Osmond Duwe, akichangia wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.
 KATIBU Mkuu Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Bi. Khadija Bakari, akisoma na Ripoti ya Matumizi na Mapato ya Idara mbalimbali za Wizara hiyo wakati wa Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi, uliofanyika Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.
 MHARIRI Mtendaji wa Shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibar, Zanzibar Leo, Ndh. Yussuf Khamis, akichangia wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar. (Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...