RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dkt. Ali Mohamed Shein, akiwa na Viongozi wa meza Kuu kushoto Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto, Mhe. Maudline Castico, Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na Mkuu wa Mkoa wa Kusinu Unguja Mhe. Hassan Khatib na kulia Mwenyekiti wa Shirikisho la la Vyama Vya Wafanyakazi Ndh. Ali Mwalim Katibu Mkuu wa ZATUC Ndg. Khamis Mwinyi na Mwakilishi wa ILO Getrude Sima wakiimba wimbo wa mshikamano wa Wafanyakazi.wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani iliofanyika katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein.Tunguu.(Picha Ikulu) 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Shein akihutubia Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duni ukumbi wa Chuo Kikuu cha SUZA Tunguu Zanzibar(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa wanaofanyika Kazi zao Zanzibar wakihudhuria Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...